Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda akizindua Mitambo na Magari ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani humo Oktoba 2025
Wafanyakazi wa Ubalozi wa India Nchini wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupewa elimu ya kinga na tahadhari ya majanga 2026
Picha ya pamoja baada ya Semina ya kuimarisha Usalama katika miradi ya Serikali kuhitimishwa Mkoani Morogoro Novemba 2025
Askari wapya Kozi namba 5 ya Mwaka 2025 wakipita mbele ya jukwaa kuu wakati wa hafla ya kufunga mafunzo ya awali Novemba 2025
CGF John Masunga akiwa na Mkuu wa Usalama wa Raia na Huduma za Zimamoto Angola Bravo Mendes baada ya kusaini MoU Sept. 2025
Mrakibu Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji (ASF) Castory Willa aliliwakilisha Jeshi hilo kwenye mdahalo kati ya Serikali ya Tanzania na Korea Kusini kuhusu masuala ya usalama wa umma. Mdahalo huo ulifanyika Jijini Dar es salaam Julai 2025
CGF John Masunga akiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania, Lucia Pande baada ya kusaini Hati ya Makubaliano
CGF John Masunga akiwa na Mkuu wa Kamandi ya Anga JWTZ Meja Jen. Shabani Baraghashi baada ya kusaini MoU ya Helikopta ya Uokoaji