Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe. Said Mtanda akizindua Mitambo na Magari ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani humo Oktoba 2025
Kamishna Athuman Rwahila Akiwa na Balozi wa India Nchini Tanzania, Bishwadip Dey baada ya kusaini hati za Makubaliano
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji (CGF) John Masunga akisalimiana na Kamishna wa Zimamoto Nchini Iran Ghodratollah Mohammedi baada ya kusaini hati za Makubaliano (MoU)
Askari wapya Kozi namba 5 ya Mwaka 2025 wakipita mbele ya jukwaa kuu wakati wa hafla ya kufunga mafunzo ya awali Novemba 2025
CGF John Masunga akiwa na Mkuu wa Usalama wa Raia na Huduma za Zimamoto Angola Bravo Mendes baada ya kusaini MoU Sept. 2025
Mrakibu Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji (ASF) Castory Willa aliliwakilisha Jeshi hilo kwenye mdahalo kati ya Serikali ya Tanzania na Korea Kusini kuhusu masuala ya usalama wa umma. Mdahalo huo ulifanyika Jijini Dar es salaam Julai 2025
CGF John Masunga akiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania, Lucia Pande baada ya kusaini Hati ya Makubaliano
CGF John Masunga akiwa na Mkuu wa Kamandi ya Anga JWTZ Meja Jen. Shabani Baraghashi baada ya kusaini MoU ya Helikopta ya Uokoaji